More lives lost in Sinai fire tragedy!
Tuesday, September 13, 2011
Monday, September 12, 2011
DEVIL KINGDOM! on street!!
The highly anticipated movie done by prominent Nigerian movie icon Ramsey Nouah and Tanzanian’s own movie star, Steven Kanumba releases another movie featuring Ramsey Noah of Nigeria "DEVIL KINGDOM"….. get ya copy now!! it’s on street…
Ajali ya meli Zanzibar: Mamia wafariki!
Watu wasiopungua 187 wamekufa baada ya meli iliyokuwa imezidisha mizigo kuzama katika pwani ya kisiwa cha Zanzibar ikiwa na watu takriban 800.
Msemaji wa serikali amesema watu 620 walionusurika wameokolewa. Serikali imetangaza siku tatu za maombolezo.
Inadhaniwa kuwa meli hiyo ilizama baada ya injini yake kukosa nguvu.
Shughuli za uokoaji zilikwazwa kwa kuwa meli hiyo ilizama usiku.
meli iliyozama
Zaidi ya watu 100 bado hawajulikani walipo, lakini watu 325 walionusurika wameokolewa, kwa mujibu wa waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar.
Meli hiyo, MV Spice Islander ilikuwa ikisafiri kati ya Kisiwa kikuu cha Unguja kuelekea Pemba.
Meli hiyo ilikuwa ikirejesha watu baada ya kumalizika kwa mfungo wa Ramadhani.
Msaada
Mamlaka za huko zimezidiwa na tukio hilo na zimeomba msaada kutoka nje.
Serikali ya Zanzibar imeunda kituo cha uokoaji na kutoa wito kwa taasisi zote kusaidia katika shughuli za uokozi. Serikali hiyo pia imeomba msaada kutoka nchi nyingine za nje, kama vile Kenya na Afrika Kusini.
Walionusurika walichukuliwa na boti za kibinafsi na kupelekwa katika bandari ya Zanzibar, amekaririwa kamishna wa polisi wa Zanzibar Mussa Hamis.
Miili ya watu imekuwa ikisukumwa katika pwani ya Zanzibar na mawimbi. Mpaka sasa miili ya watu 100 wamepatikana, amesema mwandishi wa BBC Ali Saleh akiwa Zanzibar.
Maelfu ya ndugu na jamaa wanasubiri kusikia taarifa za ndugu zao ambao walikuwa ndani ya meli hiyo, anasema mwandishi wetu.
Mohhamed Aboud, waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar anasema watu 259 walionusurika wameokolewa lakini 40 kati yao wamejeruhiwa sana.
Boti yetu imechelewa kwa sababu wanatumia vyombo vyote vya baharini kuokoa watu "Catherine Purvis"
Catherine Purvis, mtalii kutoka Uingereza aliyepo Zanzibar, akisubiri boti ya kwenda Dar es Salaam amesema ameshuhudia miili ya watu wengi ikitolewa ndani ya maji.
Rubani mmoja wa helikopta Kapteni Neels van Eijk alipita juu ya eneo la tukio.
"Tuliona walionusurika wakiwa wameshikilia magodoro na majokofu au chochote kile kinachoweza kuelea. Ni vigumu kusema idadi kamili, lakini naweza kusema walikuwepo zaidi ya watu 200 walionusurika ndani ya maji na miili ya watu pia," ameiambia BBC.
Shughuli za uokoaji pwani ya Zanzibar
"Wakati huo, kulikuwa na boti chache zilizofika katika eneo hilo. Walikuwa wakitafuta walionusurika, ingawa bahari haikuwa imechafuka sana, mawimbi walikuwa makubwa, kwa hiyo ilikuwa vugumu kuona walionusurika.
"Tulirusha ndege yetu na kuziongoza boti hadi kwa watu walionusurika ili waweze kuwachukua. Kulikuwa na miili kadhaa ndaniya maji."
Meli hiyo iliondoka Unguja takriban saa tatu usiku saa za Afrika Mashariki na inadhaniwa kuwa ilizama majira ya saa saba usiku.
Ilikuwa imebeba abiria wengi kiasi kwamba baadhi ya abiria waligoma kupanda, amekaririwa abiria mmoja aliyenusurika Abdullah daid, akizungumza na shirika la habari la AP.
source ;bbc swahili
Msemaji wa serikali amesema watu 620 walionusurika wameokolewa. Serikali imetangaza siku tatu za maombolezo.
Inadhaniwa kuwa meli hiyo ilizama baada ya injini yake kukosa nguvu.
Shughuli za uokoaji zilikwazwa kwa kuwa meli hiyo ilizama usiku.
meli iliyozama
Zaidi ya watu 100 bado hawajulikani walipo, lakini watu 325 walionusurika wameokolewa, kwa mujibu wa waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar.
Meli hiyo, MV Spice Islander ilikuwa ikisafiri kati ya Kisiwa kikuu cha Unguja kuelekea Pemba.
Meli hiyo ilikuwa ikirejesha watu baada ya kumalizika kwa mfungo wa Ramadhani.
Msaada
Mamlaka za huko zimezidiwa na tukio hilo na zimeomba msaada kutoka nje.
Serikali ya Zanzibar imeunda kituo cha uokoaji na kutoa wito kwa taasisi zote kusaidia katika shughuli za uokozi. Serikali hiyo pia imeomba msaada kutoka nchi nyingine za nje, kama vile Kenya na Afrika Kusini.
Walionusurika walichukuliwa na boti za kibinafsi na kupelekwa katika bandari ya Zanzibar, amekaririwa kamishna wa polisi wa Zanzibar Mussa Hamis.
Miili ya watu imekuwa ikisukumwa katika pwani ya Zanzibar na mawimbi. Mpaka sasa miili ya watu 100 wamepatikana, amesema mwandishi wa BBC Ali Saleh akiwa Zanzibar.
Maelfu ya ndugu na jamaa wanasubiri kusikia taarifa za ndugu zao ambao walikuwa ndani ya meli hiyo, anasema mwandishi wetu.
Mohhamed Aboud, waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar anasema watu 259 walionusurika wameokolewa lakini 40 kati yao wamejeruhiwa sana.
Boti yetu imechelewa kwa sababu wanatumia vyombo vyote vya baharini kuokoa watu "Catherine Purvis"
Catherine Purvis, mtalii kutoka Uingereza aliyepo Zanzibar, akisubiri boti ya kwenda Dar es Salaam amesema ameshuhudia miili ya watu wengi ikitolewa ndani ya maji.
Rubani mmoja wa helikopta Kapteni Neels van Eijk alipita juu ya eneo la tukio.
"Tuliona walionusurika wakiwa wameshikilia magodoro na majokofu au chochote kile kinachoweza kuelea. Ni vigumu kusema idadi kamili, lakini naweza kusema walikuwepo zaidi ya watu 200 walionusurika ndani ya maji na miili ya watu pia," ameiambia BBC.
Shughuli za uokoaji pwani ya Zanzibar
"Wakati huo, kulikuwa na boti chache zilizofika katika eneo hilo. Walikuwa wakitafuta walionusurika, ingawa bahari haikuwa imechafuka sana, mawimbi walikuwa makubwa, kwa hiyo ilikuwa vugumu kuona walionusurika.
"Tulirusha ndege yetu na kuziongoza boti hadi kwa watu walionusurika ili waweze kuwachukua. Kulikuwa na miili kadhaa ndaniya maji."
Meli hiyo iliondoka Unguja takriban saa tatu usiku saa za Afrika Mashariki na inadhaniwa kuwa ilizama majira ya saa saba usiku.
Ilikuwa imebeba abiria wengi kiasi kwamba baadhi ya abiria waligoma kupanda, amekaririwa abiria mmoja aliyenusurika Abdullah daid, akizungumza na shirika la habari la AP.
source ;bbc swahili
Tuesday, September 6, 2011
TASWIRA YA YESU YAONEKANA MAWINGUNI HUKO REUNION
Taswira kama ya Yesu ilivyoonekana katika milima Kisiwa cha Reunion.
Mwonekano wa karibu wa kilichoonekana.
MUUJIZA wa kidini umeonekana kwenye milima mitakatifu ya Kisiwa cha Reunion ambapo mpiga picha wa video wa Ufaransa aitwaye Luc Perrot, aliunasa kwenye kamera yake ukionyesha taswira ya Yesu.
Kisiwa cha Reunion ni eneo la nje la Ufaransa na kiko Mashariki mwa Madagascar katika Bahari ya Hindi.
Mpiga picha huyo alikuwa eneo la juu la kilele cha mlima Cirque huko Mafate ambapo alinasa taswira ya mikono miwili iliyokuwa imenyooka kila upande kutoka katika mawingu yaliyokuwa angani.
Perrot hakuamini macho yake baada ya kuona hali hiyo, ambapo aligundua pia kwamba taswira hiyo ilikuwa pia imezungukwa na duara yenye nuru ambayo huzunguka vichwa vya watakafitu.
Mwonekano huo ulionaswa Julai 10 mwaka huu, bado haujaelezewa kisayansi chanzo chake.
“Nilikuwa nachukua picha za video katika mlima Cirque na baadaye nikaelekeza kamera yangu maeneo ya mbali angani,” alisema mpiga picha huyo na kuongeza kwamba baadaye akaona kivuli kikielea huku kikiwa kimezungukwa na upinde wa mvua, jambo ambalo lilimshangaza.
“Baadaye niliona mwanga mweupe wa nuru ukiwa umekizunguka kichwa cha taswira hiyo,” alisema
katika mahojiano.
Mwezi uliopita, mtu mmoja huko Canada alinasa wingu lililokuwa na taswira ya moja ya miungu wa Kirumi likipita eneo la uani mwake. Tukio hilo lilijiri kabla ya kunyesha mvua kubwa. Hata hivyo, jambo hilo limeelezewa kuwa ni “maajabu ya kawaida”.
Je, huo ni mwanga wa watakatifu au upinde wa mvua?
source: wwww.globalpublishers.info
Sunday, May 1, 2011
Osama bin Laden is dead!
WASHINGTON -- Osama bin Laden, the glowering mastermind behind the Sept. 11, 2001, terror attacks that killed thousands of Americans, was slain in a firefight Sunday with U.S. forces in Pakistan, ending a manhunt that spanned a frustrating decade.
"Justice has been done," President Barack Obama said in a dramatic late-night announcement at the White House.
A jubilant crowd of thousands gathered outside the White House as word spread of bin Laden's death. Hundreds more sang and waved American flags at Ground Zero in New York -- where the twin towers that once stood as symbols of American economic power were brought down by bin Laden's hijackers 10 years ago.
Another hijacked plane slammed into the Pentagon on that cloudless day, and a fourth was commandeered by passengers who forced it to the ground before it could reach its intended target in Washington.
U.S. officials said the helicopter raid in Pakistan was carried out by CIA paramilitaries together with the elite Navy SEAL Team Six. The U.S. team took custody of bin Laden's remains, which American officials said were being handled in accordance with Islamic tradition.
The death marks a psychological triumph in a long struggle, although its ultimate impact on al-Qaida is less clear.
The greatest terrorist threat to the U.S. is now considered to be the al-Qaida franchise in Yemen, far from al-Qaida's core in Pakistan. The Yemen branch almost took down a U.S.-bound airliner on
Advertisement
Quantcast
Christmas 2009 and nearly detonated explosives aboard two U.S. cargo planes last fall. Those operations were carried out without any direct involvement from bin Laden.
Obama said he gave the order for the operation after receiving intelligence information that he did not further describe.
Former President George W. Bush, who was in office on the day of the attacks, issued a written statement hailing bin Laden's death as a momentous achievement. "The fight against terror goes on, but tonight America has sent an unmistakable message: No matter how long it takes, justice will be done," he said.
Wednesday, April 20, 2011
Wake up Africans! 'Bodies thrown into wells' in Nigerian riots
Youths stage running battles with soldiers in Nigeria's northern city of Kano shortly after the annoucement …
KANO, Nigeria (AFP) – Post-election riots in northern Nigeria have left many dead, thousands displaced and hundreds wounded amid claims that bodies had been thrown into wells in areas hit by unrest.
Nigerian President Goodluck Jonathan called on political and religious leaders to condemn the violence over his election victory, adding that most of the rioters appeared to be "unemployed young people".
He pledged that the government would work to change their situation "so that they will no longer be tools for people to use".
Fearing reprisals, authorities have not given a death toll for the rioting that began sporadically during the weekend over allegations of vote rigging and quickly spread to some 14 states on Monday. Officials have however spoken of many killed.
An estimated 25,000 have been displaced and some 375 wounded, according to the Red Cross. Police said dozens of people had been arrested.
"Things are relatively calm right now, but violent protests went on last night, especially in Kaduna, Katsina and Zamfara (states)," Umar Abdul Mairiga, the Nigeria Red Cross disaster management coordinator, told AFP.
"What may come out of there is not very palatable because many people were killed, especially in southern Kaduna. The displaced people are getting hostile because nothing is coming up in terms of relief."
KANO, Nigeria (AFP) – Post-election riots in northern Nigeria have left many dead, thousands displaced and hundreds wounded amid claims that bodies had been thrown into wells in areas hit by unrest.
Nigerian President Goodluck Jonathan called on political and religious leaders to condemn the violence over his election victory, adding that most of the rioters appeared to be "unemployed young people".
He pledged that the government would work to change their situation "so that they will no longer be tools for people to use".
Fearing reprisals, authorities have not given a death toll for the rioting that began sporadically during the weekend over allegations of vote rigging and quickly spread to some 14 states on Monday. Officials have however spoken of many killed.
An estimated 25,000 have been displaced and some 375 wounded, according to the Red Cross. Police said dozens of people had been arrested.
"Things are relatively calm right now, but violent protests went on last night, especially in Kaduna, Katsina and Zamfara (states)," Umar Abdul Mairiga, the Nigeria Red Cross disaster management coordinator, told AFP.
"What may come out of there is not very palatable because many people were killed, especially in southern Kaduna. The displaced people are getting hostile because nothing is coming up in terms of relief."
Subscribe to:
Posts (Atom)










