Thursday, December 30, 2010

ZIFF yatoa ratiba ya MIN ZIFF


ZIFF LOGO

WAANDAJI Tamasha dogo la filamu za Kitanzania Swahiliwood film Zanzibar International Film Festival (ZIFF) wametangaza ratibu ya maonysho ya filamu hizo ambazo ndiyo zimechaguliwa kuonyeshwa katika tamasha hilo la filamu, filamu hizo nane zitaonyeshwa na kupata filamu mbili washindi kwa ajili ya kwenda kuonyeshwa FESPACO nchini Burkina Faso.

.
Steven KanumbaSteven Kanumba
Siku ya Ijumaa tarehe 31st Dec. zitaonyeshwa filamu mbili katika Runinga kubwa ambazo ni :
This is it –Waigizaji wake ni: Steven Kanumba, Hanifa Daudi, Othman Njaidi.
Filamu ya pili itakuwa ni:
Huba – Waigizaji: Ahmed Olutu (Mzee Chilo), Susan Lewis (Natasha) na Hashim Kambi (Ramsey).
.
Haji Adam

Baba Haji
Siku ya Jumamosi tarehe 1st Jan 2011:
Zitaonyeshwa filamu mbili ambazo ni:
Don’t Cry Waigizaji : Haji Adam (Baba Haji), Rose Ndauka na Diana Nsumba.
.
VICENT KIGOSI
Ray
Filamu ya pili itakuwa ni
DivorceWaigizaji:Vincent Kigosi, salama Salmin
Siku ya Jumapili Tarehe 2nd Jan 2011:
Siku hii itakuwa ni usiku wa washundi kutangazwa na kupewa tuzo ambapo utaambatana na burudani kutoka nyumba ya vipaji (THT) wasanii watakaotumbuiza ni Mwasiti, Marlaw, Mataluma, Amini, Barnabas, Ditto, Lina, na THT Band and Dancers.
Bei za tiketi ni: Tsh 5000/- kawida na Tsh 10,000/- kwa Wageni maonyesho haya yatafanyika katika ukumbi wa Ngome Kongwe kuanzia saa moja jioni hadi majogoo.

R.KELLY TO PERFOM IN DAR


The platinum selling R&B sensation and the “slow wind” artist is slated to perform in Tanzania soon. This is due to the one8 campaign that saw eight of Africa’s artists including our very own Ali Kiba teaming up with R.Kelly to release the Airtel song “Hands across the world”. The telecom company is embarking on hosting concerts in each country that the eight African artists hail from.

NICKI MINAJ: 2010 is the best of her`s?

THE ROYAL PEEK: NICKI MINAJ.
Nicki Minaj is on the cover of King Magazine.

Nicki Minaj graces the March/April issue of King magazine. She also talks about her aspirations to be a Hollywood actress. Shocker. Here's some of the interview.
KING: History has shown that acting is the likeliest transition for rappers. Considering your background, do you want to dabble in Hollywood?
NICKI MINAJ: "Of course."
What would be your dream role?
NICKI: "I’d like to play someone in a Tim Burton movie, where I get dressed up and painted and crazy."
You kind of do that now.
NICKI: "Then I want to be able to do some action stuff, like Angelina Jolie."
Like in Salt?
NICKI: "Yes! And then I’d like to just play a regular girl who, you know, is facing the world. Something really sentimental and organic, that girls all around the world can identify with. You know, how Jada Pinkett Smith did in Jason’s Lyric."
Classic film. You did mention earlier how everything has been time consuming. But when that time frees up, what kind of guy do you look for to be sentimental and organic with?
NICKI: "Um, I look for someone who is calm, someone who is strong enough to not have to win every argument, someone who allows a woman to be her crazy self and someone with a conscience not to feel less of a man. You know, someone who is able to honor his woman but also bring out the freak in his woman."
How should your Ken bring out the freak in you, Barbie?
NICKI: "Just being super aggressive when the time is right."
Are we talking about Mortal Kombat–style “Come here” aggression?
NICKI: "Just something that makes me feel like they’re in control, when we are behind closed doors."

Wednesday, December 29, 2010

BORA ZA 2010 in baongo movie!

Kwa kutambua mchango unaotolewa na wasanii wetu katika tasnia ya filamu mtandao huu umeguswa na kazi za wasanii hawa na kuwatambua kwa kuwatangaza kulingana zoezi tulilokuwa tunaliendesha la BORA ZA 2010, wadau hawa wamechaguliwa na wapenzi wa filamu hapa nchini ambao pia ni wapenzi filamucentral ambao kila siku wanatembelea mtandao huu kwa habari za filamu za Swahiliwood. Gonga HAPA kuona matokeo

Tunawapongeza wale wote walioshinda na kuibuka washindi katika nafasi walizoshiriki, kila aliyeingia katika mtanange huu alikuwa ni bora lakini siku ya siku tuliitaji mshindi mmoja ambaye ndiye tunamtngaza leo hii, tumefarijika sana kwa ushirikiano mlioonyesha wadau wa tasnia hii toka mwazo wa zoezi hili hadi mwisho, tunapenda kuwatambua waliotikisa mwaka 2010 na kusema Hongera.
BORA ZA 2010

1. Msanii chipukizi bora za 2010 – HANIFA DAUDI (Jenifer)
2. Muigizaji bora wa kike — YVONNE CHERRYL (Monalisa)
3. Muigizaji bora wa kiume — STEVEN KANUMBA (Kanumba The Great)
4. Mwandishi bora wa mswaada – ALI YAKUTI
5. Mchekeshaji bora – ATHUMAN MUSSA ( KING MWALUBADU)
6. Filamu yenye kava bora – DANGER ZONE
7. Mtayarishaji bora wa filamu – STEVEN KANUMBA
8. Kampuni bora ya utengenezaji filamu – RJ Company
9. Msambazaji bora – Game 1st Quality
10. Muongozaji bora – VICENT KIGOSI (Ray The Greatest)

Matokeo haya ni kwa mujibu wa watembeleaji wa mtandao

wa
http://www.filamucentral.co.tz

PRETTY GIRL, it`s not my fault!

Pretty Girl is the new Bongo movie that has hit the market.  myself nimeiona hii movie na kiukweli jamaa wamejiataidi sana2., inaleta laha kuona how our  industry grows. Its main characters include Vincent Kigosi – Ray, Mohammed Mwikongi-Frank and Irene Uwoya. 
Watch it, Buy Now on store!

NIKKI MBISHI TO RELEASE PLAY BOY VIDEO!


Music Lab hip hop artist Nikki Mbishi is going to release “Play Boy” video soon next week. The video was shot by Adam Juma from Visual lab is in the final stages and will be aired on local TV stations soon.

DONDA HALIFUGWI!

Nilijitazama nikafurahia ngozi yangu. Ngozi nzuri nilo pewa na Muumba. Inang’aa iso na kovu. Wote walitambua hilo pindi walipo niona ingawa walijua fika mie mtu shamba. Mtu shamba nilo pewa lift ya kuingia mjini.


Hapo nilipo wekwa ndo panishangaza. Akili yangu yashindwa tofautisha ungo na mwamvuli. Mvua yanyesha na nimejifunika ungo kujikinga. Ninalowa hili hali nimejifunika.

Nimezungukwa na watu wengi. Tunaangaliana tunafurahi. Wengine kati yetu wananuka na wanafuatwa na nzi. Hawajifichi lakini hakuna hata mtu mmoja anayediriki waambia wakae mbali nasi wajioshe watakasike. Ninasikia tetesi kwamba wao ndo wameshika fungua ya basi tutumialo kwa safari. Ni maneno chinini tu kwamba kuna harufu mbaya lakini hakuna anyoshaye mkono kwa hawa jamaa zetu walio jaliwa na nzi. Mmmh! Nisitie chokochoko mtu shamba mie nikarudishwa polini.

Donda halifugwi mtu shamba nasema wazi. La mwiba au la jembe donda litibie. Tunawakalia kimya hawa watu watazidi tunyambia na kutuchafulia hewa. Tunawaona na kuwajua lakini kuwasema na kuwatenga nasi ili wajiweke swafi twaona haya. Donda lionee haya na usilitibie litakuumbua. Litavunda na kutoa harufu mbaya. Harufu hiso furahisha, harufu ino kera na mwishowe kiungo beba donda kitaoza. Ogopa mana lakuvunda halina ubani.

Mie mtu shamba nimefundishwa haya, siwezi inua mkono kuwaonyesha kidole changu kwa yeyote mchafu mana kwa kufanya hivyo ntarudishwa polini. Mie mtekelezaji na wala sio muamuzi. Hata kama nikimuona yule kati yetu ameshika kinyesi sintoweza mwambia chochote nitamchekea tu ingawa mie pia nakereka na harufu ya kinyesi chake.

Donda halifugwi, Chambuka Chanika Maimuna, donda halifugwi!

afrotanza gallery