Thursday, December 22, 2011

ELIMU TANZANIA


Nawapa pongezi wale wote wenye moyo wa kuendeleza elimu nchini. Elimu ndio msingi wa maendeleo katika nchi yoyote. Ikiwa elimu itapewa kipaumbele na kuthaminiwa basi itakuwa kweli msingi wa maendeleo. Elimu ikiwa ni kitu cha kudharauliwa itakua ni msingi mbovu sana wa maendeleo ya taifa husika. Taifa linalodharau elimu ni taifa potovu na lina mwisho mbaya.

Elimu bora inajenga taifa la watu wenye utambuzi na ufikiri mzuri. Elimu bora inajenga watu wenye maamuzi mazuri katika maendeleo ya nchi yao. Elimu ndio chanzo kizuri cha usimamizi wa ushirikiano kati ya jamii moja hadi nyingine kwani katika elimu imejaa busara na hekima. Elimu bora ikitumiwa vizuri ni kitu kizuri sana kwa maendeleo ya nchi na ikitumiwa vibaya ni sumu kari sana isiyo faa duniani.

Elimu isiyo bora si kitu cha mnufaa kwa mtu wala taifa lake. Elimu pasipo matumizi mazuri ya elimu hiyo ni ujinga na wala hauitajiki katika dunia ya kisasa. Elimu dhahania haifikishi popote taifa husika. Elimu isiyo bora inajenga taifa la watu wasio staarabika.

Kwa siku za hivi karibuni waajiri wamekuwa wakilalamikia uwezo wa wanafunzi watokao vyuo vikuu kwamba hawana uwezo mzuri wa kutenda kimatendo yale waliyosomea vyuoni. Siwashangai waajiri wala siwashangai wanazuoni kwa kukosa uwezo mzuri wakiutendaji. Waajiri wanalalamikia kitu ambacho kiko dhahiri na ni haki yao kufanya hivyo na wanazuoni wanahaki yakutojua vyema nini wanatakiwa kufanya katika ulimwengu wa matendo. Waajiri wanapenda kupata mtu atakaye zalisha na asiwe mzigo kwao. Wanazuoni nao wanapenda kuwa hivyo lakini kuna mambo mengi yanayo sababisha wakose ujuzi na mbinu za utendaji kimatendo. Mtoto wa kitanzania, mtoto anaye anza darasa la kwanza hadi kumaliza shahada yake nchini anakabiliwa na mambo magumu katika safari yake ya elimu. Safari inayohitaji uvumilivu mkuu na inayohitaji kujituma sana ili kuifanikisha.

Elimu ya Tanzania ni bora elimu kutokana na sababu nyingi. Lakini sababu ishirini nitakazo zielezea moja baada ya nyingine ni vyanzo vikuu vya elimu ya Tanzania kutokuwa bora.

Sababu zinazo kwamisha ubora wa elimu nchini ni kama ifuatavyo;

1. Walimu wote nchini wanafaa kuwa walimu? Walimu wanapatikana kwa namna ipi? Nini kinamfaa mtu kuitwa mwalimu? Ni maswali matatu kati ya mengi ya kujiuliza kuhusu mwalimu na yanaleta majibu tofauti sana. Wengi wa walimu wetu nchini katika ngazi zote za elimu hawafai kuwa walimu. Wengi wamekimbilia katika fani ya ualimu baada ya kuanguka katika masomo yao. Je! Nitawezaje mfundisha mtu kitu ambacho mimi kilinishinda? Mtu akifanikiwa kuingia chuo cha ualimu basi mtu huyu ameshakuwa mwalimu hata kama atasoma kwa mbinu za udanganyifu lakini akafanikiwa fauru mitihani yake basi ni mwalimu ambaye serikali itajivunia. Si haba mwalimu huyu kufika na kuandika ubaoni pasi kutoa maelezo yeyote na kuwambia wanfunzi wasome vitabu wataelewa. Kwa vyuo vikuu, mtu kupata alama za juu anafaa kabisa kuwa mwalimu na wala hajalishi mtu huyu amezipata kwa mbinu zipi. Mwalimu ni mtu mwenye uelewa katika yeye, anayejiamini na mwenye uwezo wa kutoa taaluma anayo ielewa kwa wengine bila uoga wala kusita. Kama mwalimu atakuwa hivyo basi elimu atakayo wapa wanafunzi wake itakuwa ni elimu ya kuvutia na yenye manufaa vinginevyo wanafunzi nchini watakuwa ni watu wa kukariri daima.

2. Wizi wa mitihani si kitu kigeni masikioni mwa watanzania wengi na ifikapo wakati wa mitihani wanafunzi uzunguka huku na kule kutafuta mitihani. Kuwa na taifa la watu wezi kwa namna hii si kitu cha ajabu. Kuwa na taifa la watu wasio jiamini si kitu cha kushangaza na kuwa na taifa la watu wanaojua kukariri ni kitu cha kawaida katika hili. Wizi wa mitihani sasa nchini unafanywa ngazi zote za elimu. Mara nyingi tumesikia wizi wa mitihani umetokea, mwaka 1998 wahitimu wa kidato cha nne walilazimika kurudia mtihani kwa uvujaji mbaya wa mitihani, mara nyingi tumesikia walimu wamechukuliwa hatua kwa wizi wa mitihani na pia wanafunzi kufutiwa matokeo yao. Nini chanzo cha wizi wa mitihani na ni nani hasa wanaohusika katika wizi huu? Kama serikari inaweza kupeleleza na kukamata majambazi yaliyo husika katika tukio la uharifu iwaje serikali hiyo ishindwe kutambua chanzo cha wizi wa mitihani na kukiziba? Mwanafunzi imara ni Yule anayeshikilia mafundisho na kuelezea vizuri sana mafundisho hayo pale anapotakiwa kufanya hivyo.

3. Ni mara ngapi mfumo wa elimu nchini umelalamikiwa na usirekebishwe? Muhitimu wa darasa la saba ana elimu ndogo sana ya dunia na ndivyo elimu yetu ilivyo mjenga. Mtu huyu hawezi jitegemea kwa kutumia taaluma yake na wala hafai hata kuwa karani. Elimu yetu ndivyo itakavyo kwani hata cheti cha darasa la saba kimekuwa kikionekana si cha muhimu tena. Mtu wa kidato cha nne anaweza kuwa karani ila baada ya kozi Fulani na anaweza kuwa mwalimu mzuri wa shule ya msing asipokuwa na mafanikio mazuri katika masomo yake. Mtu wa kidato cha sita atafaa kuwa mwalimu wa sekondari asipokuwa na mafanikio mazuri katika masomo yake na uhitaji kozi Fulani Fulani kuwa kupata uelewa kidogo wa fani Fulani na vivyo hivyo kwa Yule aliye maliza masomo yake ya chuo kikuu kuitaji mafunzo zaidi ili kuwa na ujuzi wa taaluma yake. Wengi hawafani pasipo mafunzo ya ziada na hii inaonyesha mfumo wa elimu ya Tanzania ni wa kutoa watu ujinga na si kuwaandaa kuwa wataalam na wajuzi wala sio wa kuwaandaa wanafunzi kuwa wabunifu na wenye kujiamini. Mfumo mzuri wa kitu Fulani ndio hasa utambua mahitaji ya wakati huo na baadaye na ndio utambua nini kifanyike wakiti huo kukidhi mahitaji na nini matokeo yake kwa manufaa ya baadaye. Vivyo hivyo katika elimu, mfumo mzuri ndio hasa utatoa wakufunzi wajuzi kwa manufaa ya nchi yetu sasa na baadaye.

4. Mawasiliano kati ya mwalimu na mwanafunzi, kati ya mwalimu na kati ya jamii na mwanafunzi ni muhimu sana. Lugha imekuwa kikwazo kikubwa sana katika katika utowaji wa elimu nchini. Mabadiliko ya lugha toka shule ya msingi mwanafunzi aiapo sekondari hayafai. Mtoto ushika lugha vyema anapofundishwa na kuitumia, hivyo mwanafunzi anapotumia Kiswahili tokea darasa la kwanza ataishika na kuwa muelewa katika Kiswahili. Inapotokea lugha inabadilika ghafla wanafunzi wengi uanza maisha ya kukariri. Maisha hayo ya kukariri hayabadiriki mpaka wanapohitimu elimu ya juu. Mawasiliano mazuri kati ya mwalimu na mwanafunzi, kati ya mwalimu na jamii na kati ya mwanafunzi na jamii yanajenga vyema uhitaji na uelewa wa wataalam katika fani mbalimbali.

5. Ili mwalimu kuweza kumfundisha mwanafunzi vyema nyenzo muhimu zatakiwa. Ili mwanafunzi kuweza muelewa mwalimu vizuri nadharia kidogo na matendo mengi yanahitajika. Shule nyingi za msingi na sekondari hazina maabara na zile zenye maabara hazina vifaa vya kutosha na vinavyokidhi mahitaji ya elimu kwa mwanafunzi. Vyuo pia vivyo hivyo. Zipo shule zenye vifaa vichache na walimu wasijue jinsi ya kuvitumia. Hii hainishangazi kwani wengi wa walimu wetu inajulikana ni watu wa aina gani. Elimu ya utambuzi yahitaji vitendo zaidi kuliko nadharia. Mtoto wa kitanzania ategemea kuwa mgunduzi wakati maabara ameiona akiwa kidato cha tatu au nne, akiwa na akili iliyo komaa na inayojua elimu ni kufauru mitihani kwa kukariri tu!

6. Mtaala ni muongozo mzuri wa elimu kwa walimu na wanafunzi pia. Kubadilibadili mtaala ni sawa na kuchimbachimba barabara ili watu walio mbele wapate taabu ya kurudi na kuwaelekeza njia wale walio nyuma na pia wale walio nyuma wapate taabu ya kusonga mbele. Walimu na wanafunzi wamekuwa wakipata taabu sana kwa mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala ya elimu. Mwalimu mkufunzi wa fizikia anapata taabu ya kufundisha somo la sayansi lenye muunganiko wa fizikia na kemia. Masomo hayo yanatofautina, hitoria yake yajielezea katika kutofautisha masomo hayo. Kuunganisha masomo bila kutambua historia zake ni sawa na kubumba dunia yetu ya dhaania.

7. Kusoma masomo ya sayansi au ya historia ni vyema. Mwanafunzi katika ngumi pekee ana uhari wa kufanikiwa zaidi ya mwanafunzi anayefumbata ngumi pamoja na jiwe. Mgawanyo wa masomo katika elimu ya awali na hasa ile ya sekondari ni muhimu sana. Mwanafunzi wa kilimo na apewe mafunzo ya kilimo zaidi na masomo ya ziada machache ili kumjenga imara katika taaluma ya kilimo. Mwanafunzi wa ufundi na wa historia pia. Mwanafunzi wa ufundi kuwa na masomo mengi ya historia ni kupoteza muelekeo. Mtu hawezi kuwa yote. Mwanafunzi hawezi kuwa mtaalam aliye bobea katika fani Fulani kwa kusoma masomo yote. Kutokuwa na mgawanyo imara wa masomo kwa wanafunzi kutokana na fani mbalimbali kunawapotosha wanafunzi wengi na kuwafanya wasijiamini katika taaluma mbalimbali. Mtu wa historia kuwa mhandisi ni kumtesa mtu huyo, vivyo hivyo kwa afisa kilimo kwenda kutibu watu ni kukebehi taaluma nyingine.

8. Je! Masomo ya shule ya msingi yanafaa kufuatwa kwa muda wa miaka saba? Masomo sekondari yanafaa kufuatwa kwa miaka mine? Masomo ya kidato cha tano na cha sita yanastahili kuwa masomo ya miaka miwili? Kwamba mfumo wa elimu yetu wa 7-4-2-3/4 unafaa? Basi mgawanyo wa muda wa masomo ni jambo jema sana katika kuandaa wanataaluma mbalimbali. Mgawanyo wa miaka ya mwanafunzi kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu kama nilivyo ainisha juu kuna sehemu unatesa wanafunzi wengi na kuna sehemu muda mwingi hupotea bure. Muda ni bidhaa aghari sana, kuchezea au kushindana nao ni kujiumiza mwenyewe. Wanafunzi wengi wanakua hadi uzeeni hawaheshimu muda sababu toka utotoni walifundishwa kuwapo kwa muda wa hovyohovyo.

9. Kulia asali, kushoto mua, nile nini? Mfanya biashara aliyeishikiria biashara yake vyema awezaje kuwa mwalimu? Walimu wengi wamesahau taaluma zao na kujikita katika shughuli nyingine mbalimbali. Mwanafunzi uhasirika sana kufundishwa na mwalimu ambaye mawazo yake huwa mbali na ufundishaji. Hali ya kufundishwa na watu walioshika mambo matatu matatu kumewafanya wanafunzi wengi kuwa ni watu wa kukariri kwani wakufunzi huwa ufika na kupiga stori chache na kuacha mambo lukuki kwa wanafunzi kujisomea pasi kuelekezwa vizuri.

Friday, October 21, 2011

How To Become a Good Listener!



Who wants to become a good listener? Listening is a powerful tool of communication.

Listening and just hearing has great difference. All of us wants to have a companion who is a good listener and most of us aim to be one as well.

When you assess yourself now, what kind of listener are you? A deep careful listener, a bored listener, a selective listener, a defensive listener, an interrupting listener or an insensitive listener? Do you want to know some tips how to become a good listener? If so, here are some simple tips for you:


Follow the golden rule:

Do unto others what you want others do unto you. Put yourself on the position of the one who is speaking to you.

Make an effort to listen to the person who is speaking by giving your full attention to the speaker. Focus your mind to what he is trying to say and for the unspoken messages.

Watch for the non-verbal communication like tone of voice, hand gestures, facial expressions and other body movements. Listen for the real meaning and not just for the literal words.

Finish listening first before you begin to speak for you to be sure that you understand what is being said and think clearly what to react.

Ask questions if you are not sure, to understand what the speaker is trying to convey. Good listening requires practice and patience. But, if you have this skill you'll appreciate life more.

Saturday, October 15, 2011

pic of da wEEk!

Friends with Benefits

Directed by
Will Gluck

Produced by
Liz Glotzer
Martin Shafer
Will Gluck
Janet Zucker

Written by
Keith Merryman
David A. Newman
Will Gluck
Harley Peyton





Starring
Mila Kunis
Justin Timberlake
Patricia Clarkson
Jenna Elfman
Bryan Greenberg
Richard Jenkins
Woody Harrelson

Music by
Halli Cauthery

Cinematography  Michael Grady
Editing by
Tia Nolan

Studio Castle Rock Entertainment

Distributed by Screen Gems
Release date(s)
July 22, 2011
Running time
109 minutes
Country
United States
Language
English
Budget
$35 million
Box office
$131,802,754

Friends with BenefitsFriends with Benefits is an American romantic comedy film directed by Will Gluck, starring Mila Kunis and Justin Timberlake. The film features an ensemble cast which includes Woody Harrelson, Emma Stone and Patricia Clarkson.[2]

Filming began on July 13, 2010, in New York City and wrapped in September 2010, in Los Angeles.[3] The film is distributed by Screen Gems and was released in North America on July 22, 2011

Jamie (Mila Kunis) is an Executive Recruiter for a leading job agency in New York City and Dylan (Justin Timberlake) works as an art director for a small internet company in Los Angeles. Jamie has the task of trying to recruit Dylan to interview for a job with GQ magazine and begin working in New York City. Dylan comes to New York and after interviewing for the position learns from Jamie that he has been given an offer to work for GQ. At first Dylan is hesitant to accept and move from Los Angeles to New York, but in an effort to get Dylan to accept the job Jamie spends the evening taking him around the city trying to sell him on the opportunity and the city.

Thursday, September 29, 2011

TANZANIAN ARTISTS Nominated 4 PAM AWARDS 2011!

TANZANIAN ARTISTS NOMINATED FOR PAM AWARDS 2011
Tanzanian artists have been nominated for the prestigious Pearl of Africa Music (PAM) awards competition.
A.Y, Ali Kiba, Diamond and Belle 9 were the artist Nominated for Best Male Artist from Tanzania while Lady Jay Dee, Shaa, Mwasiti and Linah who were nominated for Best Female artist from Tanzania.
Awards nominations were broadcast live on a local television stations in Uganda.  Isaac Mulindwa the founder and Chairman of PAMA-Pearl of Africa Music Awards said that Ernst and Young will be the ones in charge of the voting statistics.The 2011 PAM awards are in 41 categories.
Unlike the past Pam awards events that have been run with one traditional SMS voting mode, for the first time in Pam awards history, Online voting will be second alternative for music fans in Tanzania, Uganda, Kenya, Rwanda, Burundi and the entire world to vote for their favorite artists, songs and videos, over the internet daily. A successful nominee will join awards-receiving ceremony which will be held on November 5.
PAM awards 2011 will be sponsored by Airtel, Pepsi, and UBC TV in partnership with HiPipo.com

Cabo Snoop arrive in KENYA for tusker all star show! this 1/sep/2011


Mwanamuziki anayetamba na wimbo wake wa Prakatumba, Cabo Snoop kutoka Angola, yuko nchini Nairobi kwa shoo maalum ya Tusker itakayowakutanisha na kina Shaggy na Eve. Pichani juu na chini Cabo akiwasili na kuongea na wanahabari Uwanja wa Kimataifa wa Jomo kenyata Kenya jana. Shoo inafanyika Jumamosi hii.


Warembo wa Tusker wakiwa tayari kuwapokea wageni wao Uwanja wa Ndege jana Nairobi

Friday, September 23, 2011

pic of da dAy!


LADY JAY DEE feat "OLIVER TUKU MTUKUDZI" MIMI NI MIMI..........I AM WHO I AM



"10 years ago I met someone who changed my life musically I continued following his footsteps working hard listening to the advice he gave me every time we chatted. All this time I had a dream to do a song with him but didn’t know when exactly its gonna happen but I still believed one day this dream will come true. Fast forward to 2011, By the grace of God i am who i am, God made my dream come true, the this collabo with the legendary African musician" Oliver Tuku Mtukudzi from Zimbabwe. 
Ayo ni maneno ya Bint machozi Lady jay Dee the finest of Tanzania. waweza sikiliza song hii kupitia: https://www.facebook.com/ladyjaydee?sk=app_2405167945

Data, Information, Knowledge, and Wisdom!

There is probably no segment of activity in the world attracting as much attention at present as that of knowledge management. Yet as I entered this arena of activity I quickly found there didn't seem to be a wealth of sources that seemed to make sense in terms of defining what knowledge actually was, and how was it differentiated from data, information, and wisdom. What follows is the current level of understanding I have been able to piece together regarding data, information, knowledge, and wisdom. I figured to understand one of them I had to understand all of them.
According to Russell Ackoff, a systems theorist and professor of organisational change, the content of the human mind can be classified into five categories:
  1. Data: symbols

  2. Information: data that are processed to be useful; provides answers to "who", "what", "where", and "when" questions

  3. Knowledge: application of data and information; answers "how" questions

  4. Understanding: appreciation of "why"

  5. Wisdom: evaluated understanding.
  Ackoff indicates that the first four categories relate to the past; they deal with what has been or what is known. Only the fifth category, wisdom, deals with the future because it incorporates vision and design. With wisdom, people can create the future rather than just grasp the present and past. But achieving wisdom isn't easy; people must move successively through the other categories.
A further elaboration of Ackoff's definitions follows:
Data... data is raw. It simply exists and has no significance beyond its existence (in and of itself). It can exist in any form, usable or not. It does not have meaning of itself. In computer parlance, a spreadsheet generally starts out by holding data.
Information... information is data that has been given meaning by way of relational connection. This "meaning" can be useful, but does not have to be. In computer parlance, a relational database makes information from the data stored within it.
Knowledge... knowledge is the appropriate collection of information, such that it's intent is to be useful. Knowledge is a deterministic process. When someone "memorizes" information (as less-aspiring test-bound students often do), then they have amassed knowledge.

Monday, September 19, 2011

Captain America: The First Avenger!

Captain America: The First Avenger is a 2011 American superhero film based on the Marvel Comics character Captain America. It is the fifth installment of the Marvel Cinematic Universe. The film was directed by Joe Johnston, written by Christopher Markus and Stephen McFeely, and stars Chris Evans, Tommy Lee Jones, Hugo Weaving, Hayley Atwell, Sebastian Stan, Dominic Cooper, Neal McDonough, Derek Luke, and Stanley Tucci. The film tells the story of Steve Rogers, a sickly man from Brooklyn who is transformed into super soldier Captain America to aid in the war effort.Captain America must stop Red Skull, Adolf Hitler's ruthless head of weaponry, and the leader of a mysterious organization that intends to use a tesseract energy-source for world domination.
Captain America: The First Avenger began as a concept in 1997, and was scheduled to be distributed by Artisan Entertainment. However, a lawsuit, not settled until September 2003, disrupted the project. After Marvel Studios received a grant from Merrill Lynch, the project was set up at Paramount Pictures. Directors Jon Favreau and Louis Leterrier were interested in directing the project before Johnston was approached in 2008. The principal characters were cast between March and June 2010. Production of Captain America: The First Avenger began in June 2010, and filming took place in London, Manchester and Liverpool in the United Kingdom, and Los Angeles in the United States. The film was converted to 3D in post-production.
Captain America: The First Avenger premiered in Hollywood on July 19, 2011, and was released in the United States on July 22, 2011. The film became a critical and commercial success, grossing an estimated $352.6 million worldwide as of September 2011.

Monday, September 12, 2011

DEVIL KINGDOM! on street!!


The highly anticipated movie done by prominent Nigerian movie icon Ramsey Nouah and Tanzanian’s own movie star, Steven Kanumba releases another movie featuring Ramsey Noah of Nigeria "DEVIL KINGDOM"….. get ya copy now!! it’s on street…

Ajali ya meli Zanzibar: Mamia wafariki!

Watu wasiopungua 187 wamekufa baada ya meli iliyokuwa imezidisha mizigo kuzama katika pwani ya kisiwa cha Zanzibar ikiwa na watu takriban 800.

Msemaji wa serikali amesema watu 620 walionusurika wameokolewa. Serikali imetangaza siku tatu za maombolezo.
Inadhaniwa kuwa meli hiyo ilizama baada ya injini yake kukosa nguvu.
Shughuli za uokoaji zilikwazwa kwa kuwa meli hiyo ilizama usiku.

meli iliyozama

Zaidi ya watu 100 bado hawajulikani walipo, lakini watu 325 walionusurika wameokolewa, kwa mujibu wa waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar.

Meli hiyo, MV Spice Islander ilikuwa ikisafiri kati ya Kisiwa kikuu cha Unguja kuelekea Pemba.

Meli hiyo ilikuwa ikirejesha watu baada ya kumalizika kwa mfungo wa Ramadhani.

Msaada
Mamlaka za huko zimezidiwa na tukio hilo na zimeomba msaada kutoka nje.

Serikali ya Zanzibar imeunda kituo cha uokoaji na kutoa wito kwa taasisi zote kusaidia katika shughuli za uokozi. Serikali hiyo pia imeomba msaada kutoka nchi nyingine za nje, kama vile Kenya na Afrika Kusini.

Walionusurika walichukuliwa na boti za kibinafsi na kupelekwa katika bandari ya Zanzibar, amekaririwa kamishna wa polisi wa Zanzibar Mussa Hamis.

Miili ya watu imekuwa ikisukumwa katika pwani ya Zanzibar na mawimbi. Mpaka sasa miili ya watu 100 wamepatikana, amesema mwandishi wa BBC Ali Saleh akiwa Zanzibar.

Maelfu ya ndugu na jamaa wanasubiri kusikia taarifa za ndugu zao ambao walikuwa ndani ya meli hiyo, anasema mwandishi wetu.

Mohhamed Aboud, waziri wa masuala ya dharura wa Zanzibar anasema watu 259 walionusurika wameokolewa lakini 40 kati yao wamejeruhiwa sana.

Boti yetu imechelewa kwa sababu wanatumia vyombo vyote vya baharini kuokoa watu "Catherine Purvis"
Catherine Purvis, mtalii kutoka Uingereza aliyepo Zanzibar, akisubiri boti ya kwenda Dar es Salaam amesema ameshuhudia miili ya watu wengi ikitolewa ndani ya maji.

Rubani mmoja wa helikopta Kapteni Neels van Eijk alipita juu ya eneo la tukio.

"Tuliona walionusurika wakiwa wameshikilia magodoro na majokofu au chochote kile kinachoweza kuelea. Ni vigumu kusema idadi kamili, lakini naweza kusema walikuwepo zaidi ya watu 200 walionusurika ndani ya maji na miili ya watu pia," ameiambia BBC.

Shughuli za uokoaji pwani ya Zanzibar

"Wakati huo, kulikuwa na boti chache zilizofika katika eneo hilo. Walikuwa wakitafuta walionusurika, ingawa bahari haikuwa imechafuka sana, mawimbi walikuwa makubwa, kwa hiyo ilikuwa vugumu kuona walionusurika.

"Tulirusha ndege yetu na kuziongoza boti hadi kwa watu walionusurika ili waweze kuwachukua. Kulikuwa na miili kadhaa ndaniya maji."

Meli hiyo iliondoka Unguja takriban saa tatu usiku saa za Afrika Mashariki na inadhaniwa kuwa ilizama majira ya saa saba usiku.

Ilikuwa imebeba abiria wengi kiasi kwamba baadhi ya abiria waligoma kupanda, amekaririwa abiria mmoja aliyenusurika Abdullah daid, akizungumza na shirika la habari la AP.
source ;bbc swahili

Tuesday, September 6, 2011

TASWIRA YA YESU YAONEKANA MAWINGUNI HUKO REUNION



Taswira kama ya Yesu ilivyoonekana katika milima Kisiwa cha Reunion.
Mwonekano wa karibu wa kilichoonekana.
MUUJIZA wa kidini umeonekana kwenye milima mitakatifu ya Kisiwa cha Reunion ambapo mpiga picha wa video wa Ufaransa aitwaye Luc Perrot, aliunasa kwenye kamera yake ukionyesha taswira ya Yesu.

Kisiwa cha Reunion ni eneo la nje la Ufaransa na kiko Mashariki mwa Madagascar katika Bahari ya Hindi.

Mpiga picha huyo alikuwa eneo la juu la kilele cha mlima Cirque huko Mafate ambapo alinasa taswira ya mikono miwili iliyokuwa imenyooka kila upande kutoka katika mawingu yaliyokuwa angani.

Perrot hakuamini macho yake baada ya kuona hali hiyo, ambapo aligundua pia kwamba taswira hiyo ilikuwa pia imezungukwa na duara yenye nuru ambayo huzunguka vichwa vya watakafitu.

Mwonekano huo ulionaswa Julai 10 mwaka huu, bado haujaelezewa kisayansi chanzo chake.

“Nilikuwa nachukua picha za video katika mlima Cirque na baadaye nikaelekeza kamera yangu maeneo ya mbali angani,” alisema mpiga picha huyo na kuongeza kwamba baadaye akaona kivuli kikielea huku kikiwa kimezungukwa na upinde wa mvua, jambo ambalo lilimshangaza.

“Baadaye niliona mwanga mweupe wa nuru ukiwa umekizunguka kichwa cha taswira hiyo,” alisema

katika mahojiano.

Mwezi uliopita, mtu mmoja huko Canada alinasa wingu lililokuwa na taswira ya moja ya miungu wa Kirumi likipita eneo la uani mwake. Tukio hilo lilijiri kabla ya kunyesha mvua kubwa. Hata hivyo, jambo hilo limeelezewa kuwa ni “maajabu ya kawaida”.


Je, huo ni mwanga wa watakatifu au upinde wa mvua?
source: wwww.globalpublishers.info

afrotanza retouchin!!!!



Sunday, May 1, 2011

Osama bin Laden is dead!


WASHINGTON -- Osama bin Laden, the glowering mastermind behind the Sept. 11, 2001, terror attacks that killed thousands of Americans, was slain in a firefight Sunday with U.S. forces in Pakistan, ending a manhunt that spanned a frustrating decade.

"Justice has been done," President Barack Obama said in a dramatic late-night announcement at the White House.

A jubilant crowd of thousands gathered outside the White House as word spread of bin Laden's death. Hundreds more sang and waved American flags at Ground Zero in New York -- where the twin towers that once stood as symbols of American economic power were brought down by bin Laden's hijackers 10 years ago.

Another hijacked plane slammed into the Pentagon on that cloudless day, and a fourth was commandeered by passengers who forced it to the ground before it could reach its intended target in Washington.

U.S. officials said the helicopter raid in Pakistan was carried out by CIA paramilitaries together with the elite Navy SEAL Team Six. The U.S. team took custody of bin Laden's remains, which American officials said were being handled in accordance with Islamic tradition.

The death marks a psychological triumph in a long struggle, although its ultimate impact on al-Qaida is less clear.

The greatest terrorist threat to the U.S. is now considered to be the al-Qaida franchise in Yemen, far from al-Qaida's core in Pakistan. The Yemen branch almost took down a U.S.-bound airliner on
Advertisement
Quantcast
Christmas 2009 and nearly detonated explosives aboard two U.S. cargo planes last fall. Those operations were carried out without any direct involvement from bin Laden.

Obama said he gave the order for the operation after receiving intelligence information that he did not further describe.

Former President George W. Bush, who was in office on the day of the attacks, issued a written statement hailing bin Laden's death as a momentous achievement. "The fight against terror goes on, but tonight America has sent an unmistakable message: No matter how long it takes, justice will be done," he said.

Wednesday, April 20, 2011

Wake up Africans! 'Bodies thrown into wells' in Nigerian riots

Youths stage running battles with soldiers in Nigeria's northern city of Kano shortly after the annoucement …


KANO, Nigeria (AFP) – Post-election riots in northern Nigeria have left many dead, thousands displaced and hundreds wounded amid claims that bodies had been thrown into wells in areas hit by unrest.

Nigerian President Goodluck Jonathan called on political and religious leaders to condemn the violence over his election victory, adding that most of the rioters appeared to be "unemployed young people".

He pledged that the government would work to change their situation "so that they will no longer be tools for people to use".

Fearing reprisals, authorities have not given a death toll for the rioting that began sporadically during the weekend over allegations of vote rigging and quickly spread to some 14 states on Monday. Officials have however spoken of many killed.

An estimated 25,000 have been displaced and some 375 wounded, according to the Red Cross. Police said dozens of people had been arrested.

"Things are relatively calm right now, but violent protests went on last night, especially in Kaduna, Katsina and Zamfara (states)," Umar Abdul Mairiga, the Nigeria Red Cross disaster management coordinator, told AFP.

"What may come out of there is not very palatable because many people were killed, especially in southern Kaduna. The displaced people are getting hostile because nothing is coming up in terms of relief."

Tuesday, April 19, 2011

UBINAFSI

UBINAFSI umekuwa ni janga la dunia nzima, si Amerika si Ulaya si Asia, lakini kwa hapa Afrika janga hili linaonekana kushamiri zaidi kuliko sehemu zingine za dunia.

Ubinafsi, tabia ambayo imo ndani ya mtu mmoja mmoja umekuwa ni tatizo kubwa linalokwamisha maendeleo katika ngazi zote kama familia, jamii na taifa.

Ubinafsi hapa nchini umekuwa ni ugonjwa mbaya ndani ya baadhi ya watu na una athari katika nyanja muhimu katika jamii, hivyo unahitaji kupigwa vita na kila mpenda maendeleo ya nchi yetu, kwani tusipoupiga vita basi tutaendelea kuwa maskini huku wachache wakineemeka.

Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere hata kabla ya Uhuru alikuwa ameshajua kuwa Taifa lina maadui wabaya watatu, umaskini, ujinga na maradhi, hivyo aliamini Taifa haliwezi kuendelea bila kuwapiga vita maadui hao hata kama nchi itapewa uhuru wake, Hivyo baada ya uhuru alitangaza vita ya mapambano kuwatokomeza maadui hawa.

Wengi tunafahamu mafanikio ya vita hii na mojawapo hakukuwa na tofauti za kimaisha katika jamii. Naamini adui ubinafsi alikuwepo sana tu ila hakuweza kujidhihirisha waziwazi pengine kwa kumuogopa Mwalimu. Naamini pia adui huyu alifanya kazi kwa siri kubwa na kadri siku zilivyozidi kwenda aliota mizizi.

Mwalimu alipotutoka tu, adui akaanza kujidhihirisha wazi wazi,aliyekuwa amevaa mavazi ya kondoo kumbe alikuwa ni mbwa mwitu na huwezi amini hata baadhi ya watumishi na kondoo wa Mungu wamegeuka mbwa mwitu.

Watu wengi leo hii hasa wenye dhamana mbalimbali na wanaotuongoza ni wabinafsi wa kutupwa wasiojali maslahi ya walio wengi. Badala yake wanajiangalia wao na makundi yao kwanza.

La kusikitisha zaidi hata yale mawazo ya kukumbuka kuwa kuna makundi mengi ya watu katika jamii wanaohitaji mahitaji maalumu yani wasiojiweza na pia kwamba asilimia kubwa ya jamii ya watanzania inaishi katika maisha ya kifukara hawana. hata kama wanaikumbuka jamii basi ni kama vile wanasema shauri lao.

Mifano ipo mingi sana, kwa mfano maamuzi juu ya masuala yanayowagusa walio wengi sio jambo geni kusikia kiongozi fulani anaamka tu asubuhi na kutoa matamko ya maamuzi nyeti bila kuwashirikisha wataalamu na wadau mbalimbali matokeo yake maamuzi yake yanaonekana hayana tija kwa jamii.

Wasomi wetu na viongozi wetu leo hii wengi hawana habari tena ya kuitumikia jamii, wao wanaangalia maslahi yao, matumbo yao na familia zao. Mikataba mingi ya uwezekaji unakuta imesainiwa kwa kuangalia zaidi maslahi yao binafsi na sio maslahi ya jamii ya watanzania. Nani asiyejua swala la kujilimbikizia mali isivyo halali? Nani asiyejua maswala ya rushwa na ufisadi,nani asiyejua matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.yote haya sababu tu ya ubinafsi.

Viongozi wetu wengi leo hii wako tayari na wanaona ni haki yao kutumia pesa nyingi za walipa kodi vibaya kwa kununua magari ya kifahari ya gharama kubwa kila mwaka wakati jamii hiyo ya walipa kodi ina matatizo mengi yanayotatulika.

Inashangaza kuona hata Wabunge wetu, wawakilishi na watetezi wa wananchi Bungeni miaka ya hivi karibuni wamekuwa mstari wa mbele kudai waongezewe maslahi zaidi utafikiri hizo pesa wanakwenda kuzigawa kwenye majimbo yao. Hili limefanya hata mtu awe tayari hata kumuua mwenzie kwenye mbio za Ubunge ili yeye apite.

Katika upande wa familia, utakuta mtu ana uwezo mkubwa tu na watoto wake wanasoma hata Ulaya, lakini yeye kuwasaidia hata ada ya masomo watoto wa ndugu zake wasio na uwezo anaona shida, anaona shida hata kuwapa mtaji ndugu zake wasio na uwezo sababu ya ubinafsi, yeye anajali na kuangalia familia yake basi.

Zimwi hili la ubinafsi limekuwa likikwamisha maendeleo kuanzia ngazi ya familia hadi katika taifa, hivyo basi hatuna budi kulitokomeza lakini pia viongozi wa dini wasimamie hili kwani hata katika vitabu vitakatifu ubinafsi umekatazwa.

Chanzo: Mwananchi, Thursday, 17 February 2011 19:56

Amani na Upendo

Monday, April 18, 2011

UNKNOWN


Dr. Martin Harris awakens after a car accident in Berlin to discover that his wife suddenly doesn't recognize him and another man has assumed his identity. Ignored by disbelieving authorities and hunted by mysterious assassins, he finds himself alone, tired and on the run. Aided by an unlikely ally, Martin plunges headlong into a deadly mystery that will force him to question his sanity, his identity, and just how far he's willing to go to uncover the truth.
Cast & Crew
Starring:

Liam Neeson (Dr. Martin Harris)
January Jones (Elizabeth Harris)
Diane Kruger (Gina)
Aidan Quinn (Martin B.)
Frank Langella (Rodney Cole)
Bruno Ganz (Jurgen)
Sebastian Koch (Professor Bressler)
Mido Hamada (Prince Shada)

Directed By:
Jaume Collet-Serra
Genres: Drama, Thriller and Adaptation
Running Time: 1 hr. 49 min.
Release Date: February 18th, 2011 (wide)
MPAA Rating: PG-13 for some intense sequences of violence and action, and brief sexual content.
Distributors:
Warner Bros. Pictures


the movie is among gud staff this 2011. must wotch it!

YEAR OF GENTLEMAN!










THIS happened when your so so inlove with Fashion! the guy is so superb in art, fashion n` design. It’s a bit of a find when you come across a designer with a fresh yet wearable take on men’s clothing. Big up Haki Ngowi.for more check out here

Friday, April 15, 2011

KATIBA

Mungu akasema, Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu akamuumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kitambaacho juu ya nchi.


Kwa waamini kwamba wameumbwa na Mungu, mungu hakumpa mwanadamu mamlaka ya kutawala mwadamu mwenzake. Katika kundi kubwa la watu au wanyama hatuwezi wote kuwa mbele, ni lazima wachache kati yetu tuwatangulize kama wawakilishi wetu kwa kufuata taratibu tulizo ziweka sisi wenyewe wana kundi au wana jamii fulani. Taratibu ambazo kila mwanajumuia ameridhika nazo na hana shaka ni kwa manufaa ya kila mwanajumuia. Taratibu hizo zitaridhiwa na wote wanaotaka kutuongoza ili tufikie pale ambapo wote tumetazamia kufika bila kuwa na manung'uniko yoyote kwa wale wa mbele na wale wa nyuma.


Kuweka taratibu ambazo zitaridhiwa na kila mwana jumuia ni kazi ngumu na inahitaji utulivu mkuu. Kila kiumbe anamaono tofauti, kila kiumbe ana nafsi ya kipekee, makubaliano ya viumbe wenye hulka tofauti yanahitaji utulivu wa mkubwa na mdogo, mwanamke na mwanaume, vijana na wazee. Mchanganyiko wa wanawake na wanaume, vijana na wazee unaweza kuwa ndio mchanganyiko utakao leta manufaa ya makubaliano ya taratibu za kuendesha jumuia husika. Pasiwepo mjuaji wala tamaa ya kitu fulani katika kuandaa kitu cha manufaa ya jumuia kwa muda mfupi au mrefu.


Kulinda na kuenenda kutokana nataratibu ambazo jamii fulani imeziweka ni jambo la lazima katika jamii hiyo. Mtu aliye yote anapo kiuka taratibu hizo ataadhibiwa kutokana na taratibu hizohizo ambazo jamii imeziweka kwa maslahi yao wote.


Taratibu za maridhiano ya viongozi na waongozwa uitwa KATIBA. Si kazi rahisi kuandaa katiba mpya itakayo ridhiwa na watu zaidi ya milioni 40 kiurahisi. Katika kuandaa katiba kila mwanajumuia anatakiwa kushiriki vyema maana katiba ni mali ya watu wote wa jumuia fulani. Jumuia inayofanikiwa kuandaa katiba iliyoridhiwa na watu wengi katika jumuia hiyo ni jumuia yenye mafanikio, ni jumuia ya upendo, ni jumuia mtu kwa watu na watu kwa mtu kwani ni kwa ajili ya manufaa ya wote. Kazi ya uandaaji wa taratibu za kuendesha jumuia ya watu zaidi ya milioni 40 yahitaji muda na busara kuu.


Kutoa muda wa siku nne kuchangia maoni ya muswada wa katiba mpy ya jamuhuri ya muungano ni kichekesho. Watawala nao yaelekea hawajui nini maana ya katiba. Pupa pupa ifanye kwenye maisha mengine na si katika kuandaa katiba. Katiba haitungwi kwa ajili ya watu waishio mijini pekee, hapana, katiba ni ya watu wote wa mijini na vijijini. Tumesikia sehemu zilizo tumika kupojea maoni juu ya muswada wa katiba mpya, katiba kwa ajili ya Jamuhuri ya muungano wa tanzania. Ni mijini, hakuna watu wa kuchangia chochote waishio vijijini, hii ni hatari. Katika katiba hakuna masikini na mkokoteni wake au tajiri na gari lake. Katiba mali ya wote, hivyo kila mwanajumuia, mjini au kijijini, msikitini au kanisani anatakiwa kushiriki vyema katika uandaaji wa katiba.


Watanzania washikamane wawe imara katika kuhakikisha yale yote ambayo yameonekana ni mapungufu ya jumuia yetu kutokatana na katiba iliyopo yanaondoka na kupata katiba mpya na safi kwa manufaa ya mla mkate hotelini na mla muhogo shambani. Kuhakikisha katiba inakuwa wazi katika uwajibikaji wa kila mtanzania, katiba isiruhusu kuwepo miungu watanzania ambao hata akikunyea mdomoni huna kwa kumpeleka, hapana!


Mtoto tumboni na hata mababu vitandani waheshimike katika mchakato wa kuandaa katiba mpya. Kazi ni ngumu lakini kwa kushirikiana vyema tutaiweza kwa ufanisi mkuu. Tuseme hapana kwa wale wenye nia ya kuweka taratibu fulani kwa manufaa yao, hawa ni watu wabinafi, tuwakatae kabisa!


Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe. Jenga nchi yako kwa kuhakikisha inapata katiba mpya na imara, kuwa imara na mwenye busara katika kusimamia hilo.


Amani na upendo.

Thursday, April 14, 2011

DAMU INA RADHA TAMU

Damu kitu ni aghari sana. Hakuna hasiye tambua huwezi ishi bila damu. Damu ni muhimu kwa afya nzuri kwa kuwa mwili unategemea damu isukume oksijeni na viambatanishi vingi ili weza zifikia seli zake. Moyo hufanya kazi ya kusukuma damu lakini hauwezi ishi pasipo damu. Damu inabeba caboni dayoksaidi na taka mwili nyingine kupeleka kwenye mapafu, kibofu na kwenda kwenye mmeng'enyo wa chakula ili viweze tolewa nje ya mwili kama taka mwili. Pasipo damu tusinge weza pasha wala pooza miili yetu, tusingeweza pambana na magonjwa na wala tusingeweza toa taka mwili. Damu inathani kubwa.

Kila kitu chenye thamani mwilini au ardhini, mjini au porini, kwa mtu au mnyama uhitajika na mtu, ardhi na wanyama pia. Watu wanadamu katika miili yao na inapopungua wanaongezewa ikipatikana, wanyama pia vivyo hivyo. Ardhi haina damu kama damu ya mtu au myama lakini inapenda sana damu ya mtu au mnyama kwa kuwa damu ni tamu.

Ardhi ikionja damu haichoki kuhitaji hitaji hilo tamu. Ardhi niishiyo imeonja na sasa imezoea damu. Kwa kuwa mchovya asali hachovyi mara moja basi ni vigumu kwa ardhi ya nchi yangu kuikana damu tamu tena damu ya watu.

Msitu wa pande damu ilimwagika wazi hilo twalijua, Dito aliipa ardhi inachokitaka wazi bila kuogopa, zanzibar watu wakauana tukapata wakimbizi, wakulima na wafugaji kuilisha ardhi tamu yake kila kukicha, Arusha yakatokea ukweli mewekwa kwapani, machweo na mawio yakafika Madale ardhi kupigania damu nyingi na tamu kwa ardhi mwagika. Mtanzania mpenda amani na haki alikuwepo jana leo hapana kesho kitendawili. Watu wanajichukulia sheria mikononi kuchinja wevi na maisha yaendelea. Jazba haina utu. Chochoko ya ardhi kutaka damu haitaisha kwa kuwa imeshazoea sasa na itafitini kwa kila namna ipate tamu ya damu.

Mtanzania kupiga na kuua mtanzania mwenzake si jambo baya na wala hajutii. Anafurahi na kushaingilia na kuendelea na maisha pasi na wasi. Thamani ya maisha ya mtu mwingine kwa mtanzania wa chini na hata wa juu haipo. Waliomwaga Damu pande ni viongozi walo aminiwa na kupewa vyeo katika taifa letu na waliomwaga damu madale ni masikini kama mimi. Ardhi inataka Damu.

Kiu ya ardhi ikiwa kuu ni majuto. Pitia simulizi za vita ya Kimbali Rwanda, pitia simulizi za somalia na nchi nyingi ambazo hazikuona thamani ya mwingine katika maisha na kujiona wao ndio bora zaidi. Kabila kwa kabia, dini kwa dini, masikini kwa tajiri, tabaka kwa tabaka, ardhi haina shaka uaneni ipate shibe, inywe damu tamu ishibe.

Sintoishangaa Tanzania ya vita, kwani utu si kitu kwa raia wa tanzania. Madale watu wameuana kwa panga na marungu tena kwa kuangaliana usoni bila shaka yoyote nini kumpiga yule wa dini fulani au chama fulani?

Damu ina radha tamu. Mungu apishe mbali kiasi cha damu ardhi ya tanzania ilivyo kunywa kiwe chatosha. Awajalie watanzania utu wa kujali utu wa watu wengine, azijaze nyoyo za raia wa Tanzania ujasiri wa kuchukia sheria mikononi, watu watumie madaraka yao kwa matakwa ya wote, wakimbie rushwa, wapendane na kujua sisi wote ni ndugu, tabaka fulani na tabaka fulani, dini fulani na dini fulani Mungu wetu ni mmoja.

Damu ni tamu na ardhi inahitaji damu nyingi. Tusipojali utu tutapigana, tutauana na hakuna jema litakalo tufika.

Amani na Upendo.

Tuesday, February 1, 2011

Adam Sandler Honored On The Hollywood Walk Of Fame!

Adam Sandler Actor Adam Sandler poses for photographers during the installation ceremony for his star on the Hollywood Walk of Fame on February 1, 2011 in Hollywood, California.
Adam Sandler Honored On The Hollywood Walk Of Fame!

Actor Adam Sandler poses for photographers during the installation ceremony for his star on the Hollywood Walk of Fame on February 1, 2011 in Hollywood, California.

Acting career

In the mid to late 1980s, Sandler played Theo Huxtable's friend, Smitty, on The Cosby Show (1987–1988). He was a performer for the MTV game show Remote Control, on which he made appearances as the characters "Trivia Delinquent" or "Stud Boy". Early in his career, Sandler performed in comedy clubs, taking the stage at his brother's urging when he was only 17.

Monday, January 31, 2011

Jennifer Lopez Is Trying for Another Baby

2011 Winter TCA Tour - Day 7 Singer Jennifer Lopez speaks onstage during the 'American Idol' panel at the FOX Broadcasting Company portion of the 2011 Winter TCA press tour held at the Langham Hotel on January 11, 2011 in Pasadena, California.  
    Jennifer Lopez already has two-year-old twins, Max and Emme, with her husband Marc Anthony, but the American Idol judge is ready to add to her brood. Lopez says she would love to have a third child and while they are yet to conceive, the couple are having lots of “fun” trying.

She told InTouch Weekly magazine: “Baby number three would be a blessing. We're having fun trying!”

The 41-year-old beauty admitted having children has brought her and Marc -- whom she* married in 2004 -- closer together and more determined than ever to make their relationship work.

She said: “My kids make Marc and I stronger than we have ever been. But there have been tough times where I did not know what the end looked like.

“Having kids made us both see that there's a bigger picture. Yes, we still fight -- but at the end of the day we know we have these amazing children who need us. So we promised not to go to bed angry.”

The singer-and-actress recently said she would have children "a thousand more times" because she loves being a mother.

She revealed: "As soon as I had the babies, I thought to myself, 'I want to do this a thousand more times.' I love this. This is life."

Lady Gaga's fragrance to smell like 'blood and semen'; Seminal scent to debut Spring 2012.


Lady Gaga a visceral reaction
.
She reportedly wants her scent to smell like "blood and semen," sources have told Fashionista. Her "little monsters" shouldn't be surprised. Insiders told Marketingmagazine in the UK that it will have an extremely "unusual" fragrance. The wacky pop star signed a deal with Coty last year, and her signature scent will hit shelves next year. If Gaga's seminal scent is as out there as it's rumored, it already has company on the shelves. Kilian Hennessy has a high-priced perfume called Liaisons Dangereuses that is meant to evoke the scent of an orgy.

And Demeter Fragrances has been selling near-ghastly smells for over a decade: Sushi, Lobster and Turpentine scents are just a few of their olfactory creations.

afrotanza gallery